Kuna simu ya blackberry sijui kama itakufa?wajaman ndugu zangu natafuta cm aina ya brackberry used kwa kiasi cha laki tatu.!!
Unatafuta simu eeeh BRACKBERRY!wajaman ndugu zangu natafuta cm aina ya brackberry used kwa kiasi cha laki tatu.!!
Ongeza mpunga huo nina Blackberry Torch 9800 slide & touch screen, ipo kwenye Good condition.wajaman ndugu zangu natafuta cm aina ya brackberry used kwa kiasi cha laki tatu.!!
Brackberry bado hazijatoka mkuu labda blackberry unaweza kupata.
Wewe ni mjinga tena Pimbi, unaanzisha thread halafu huchangii chochote! useless Member.wajaman ndugu zangu natafuta cm aina ya blackberry used kwa kiasi cha laki tatu.!!
Mkuu Millide chukua 200
Halafu kaedit jina sasa tujue unataka nini? BRACKBERRY au BlackberryWewe ni mjinga tena Pimbi, unaanzisha thread halafu huchangii chochote! useless Member.
Am out.
Weka napicha ya zile za kichina Brackberry...Ongeza mpunga huo nina Blackberry Torch 9800 slide & touch screen, ipo kwenye Good condition.
Njoo kwa pm tumalize biashara.