Kizuri gharama.....kiukweli swala la kureset sio fashion kabisa inabidi uangalie spirit ya dogo ya kusoma ukiona kanyanga bora aende certificate CBE or IFM,Maana kurudia kama mtu ajitambui basi matokeo ni yaleyale tu...div 0.
Mkuu me dogo sijui alizingua nini, but kiasi anajiweza kiakili lakini cha kushangaza alitoka na hiyo div0 kitu ambacho sidhani kama anaweza kukubaliwa kwa any chuo.
Jf imevamiwa na watoto.
kama kweli yuko serious aende pale makongo secondary,wengi ninaowajua ambao walikuwa wanarisit wamefanikiwa kuzipata ila kama hayuko serious asiende kabisa.
Kuna taarifa umeiona humu JamiiForums na haifai kubaki mtandaoni?
Fanya hivi...
Unapata ugumu kuikumbuka akaunti yako? Unakwama kuanzisha akaunti?
Contact us