Natafuta shule A level ya Private iliyopo Tanga

Natafuta shule A level ya Private iliyopo Tanga

salu k

Member
Joined
Nov 21, 2016
Posts
5
Reaction score
0
Habar wana jamii Mimi ni mwanafunzi wa kidato cha tano nilikuwa naomba msaada wa shule za private ambazo in za A level kwa mkoa wa tanga hasa tanga mjini gharama za ada isizidi million 1.5 mwenye kujua anisaidie jamani
 
Ulizia Eckernforde hapo Mjini au ukifika stendi utapata tu ada haifiki hiyo bajeti yako
 
Kuna Popatlal pia hapo karibu na baharini na St. Christina ya Waschana hapo majani mapana cjajua jinsia yako lkn!!
 
Kuna rosmin, arafah, alkheir, popatlal, ecerdford, coastal, ila coastal ipo vzur angaliaa ata matokeo yke ya mwaka huu na mwak jan....
 
ni kweli kabisa,Rosmini wapo poa sana hata matokeo kimatokeo
Exactly nina uzoefu na Tanga shule ya pekee kwa A level yenye effort ni rosmini hizo costal au eckenford zipo kati sana ya mji kitu ambacho sio familar kwa masomo, Kwa government school ni Tanga school na Usagara
 
Wakuu mwenye namba za mwalimu yeyote wa eckenford au coastal naomba anisaidie
 
Back
Top Bottom