Natafuta shamba maeneo ya Kibiti.

Natafuta shamba maeneo ya Kibiti.

Lugulu

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2013
Posts
482
Reaction score
176
Salamu kwa Wadau. Naomba kama kuna m2 anafaham au anaweza kunsaidia kupata shamba maeneo ya Kibiti kwa bei rahisi. Natafuta just hekari moja tu. Ingawa cjawahi kufika ila nmevutiwa na hali ya hewa ya huko manake naambiwa hali ya hewa ni nzuri. Lengo ni kutaka kuwa mjariamali na mkulima mdogo... Naomba msaada na mawazo, karibu.
 
Loooo !!! hekari moja Kibiti ?
Unataka ujasiriamali wa kilimo kwa hekari moja?
Subiri Wadegereko waje huku watakusaidia.
 
Back
Top Bottom