Natafuta shamba la kununua

Natafuta shamba la kununua

wakuu nahitaji shamba la kununua liwe sehemu nzuri linalofaa kwa kilimo

Ni PM namba yako, ulipo, hekari unazotaka, nina mashamba unayoweza kulima na ukichoka ukayabadili kuwa plot za kujenga zenye mandhari nzuri zinazofaa
 
Kwa yeyoye anayetaka kununua kiwanja,shamba au nyumba tutafutane nikupe coodinates za eneo usijepoteza pesa zako. Utapata faraja sana unapo hakikisha eneo halina mashaka.
 
wakuu nahitaji shamba la kununua liwe sehemu nzuri linalofaa kwa kilimo

Mkuu, njoo uchukue Vikindu heka 5 kwa milioni 4 kila moja. Ni karibu na chuo kikuu kipya cha S.T. Augustine. Pia unaweza kukatiwa ukubwa unaoweza kuumudu
 
kama vp njoo zegero ni msanga ndani ndani eka 1 laki 5,nguvu yako tu.
 
Uko vikindu ni bei gani kwa gari toka pale buguruni, weka no za simu tunahitaji wengi
 
Uko vikindu ni bei gani kwa gari toka pale buguruni, weka no za simu tunahitaji wengi

Kutoka Mbagala mpaka Vikindu ni sh. 500 ukijumlisha na gari 1 kutoka buguruni inakuwa kama 1000.
Uzuri wa haya maeneo ni kuwa unaweza kuyabadili kuwa maeneo ya kibiashara kama hosteli, Business center, n.k Kutokana na kuwa karibu na chuo kipya cha S. T. Augustine.
 
Hekta 13 za shamba zinauzwa maeneo ya BWAMA (CHANIKA). Ardhi hii bado ni bikra. Bei ya hekta moja ni Tsh 800000/- Kazi kwenu....
 
Zipo ekari 50 @ 700,000.00 (Laki saba tu)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom