Natafuta shamba la kununua

Natafuta shamba la kununua

JosphatiG

Member
Joined
Apr 1, 2014
Posts
43
Reaction score
7
Habari zenu bandugu nahitaji mashamba ya kulima yaliyo karibu na sio mbaali sana na makazi ya watu kwaajiri ya usimamizi wa karibu, itapendeza kama yatapatikania maeneo ya Morogoro & Tanga
Nitafute kwa no.+255755500814
 
Vibarua nilisha wa weka ndio walikuwa wana malizia kusafisha heka ya 3 jana
 
Nina heka 3 morogoro maeneo nauza be yakawaida nilitaka kuanza kulima mwezi huu ila nimepata scholarship ya nenda masomoni nje.. Kama upo tayari nipigie 0714651666
Moro sehemu gani?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom