Natafuta shamba la kununua maeneo ya Kibaha

Natafuta shamba la kununua maeneo ya Kibaha

BABA TUPAC

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2015
Posts
1,533
Reaction score
3,837
Habari,

Natafuta shamba la kununua maeneo ya kibaha (eka tano), sifa la shamba;

1. Liwe mbali na makazi ya watu (isiwe too much) kwakuwa nataka kufugia nguruwe
2. Liwe jirani na maji (either ukichimba pawe na maji au shamba liwe jirani na chanzo chochote kile cha maji)
3. Eneo hilo liwe na usalama, pasiwe na wezi wa mifugo.

Mwenye shamba tuwasiliane haraka sana. Asanteni
 
ninalo sema si kibaha ni kisarawe kijiji cha kisanga ekari 8.
 
Mi ninalo Kibaha kwa Mathias, ila ni Heka 2 na nusu, liko mbali na watu. Bomba la mchini limepita mita 20 toka shambani
 
Mkuu mashamba yako mzenga ni mlandizi kwa ndani kijiji cha segero bei karibu na bure maji yapo.
 
Habari,

Natafuta shamba la kununua maeneo ya kibaha (eka tano), sifa la shamba;

1. Liwe mbali na makazi ya watu (isiwe too much) kwakuwa nataka kufugia nguruwe
2. Liwe jirani na maji (either ukichimba pawe na maji au shamba liwe jirani na chanzo chochote kile cha maji)
3. Eneo hilo liwe na usalama, pasiwe na wezi wa mifugo.

Mwenye shamba tuwasiliane haraka sana. Asanteni
lipo kibaha miembe saba,nitafute kwa 0672110065
 
ilo suala la wezi ni kwamba hakuna sehemu isiyo na wezi nchini. Wezi uwa wanafuata mali ilipo na kama ukiishi mbali na watu lazima wezi watavutiwa huko kwa kuwa uwezekano wa kukamatwa na majirani ni mdogo naomba uondoe hicho kigezo kwenye request yako. Pia natumaini utakuwa umepata shamba maana watu wengi wamekupa namba na hizo sehemu zina vigezo. Kuna huyo wa kibaha kwa mathias ana eka 2.5 jaribu kupaangalia maana ni karibu zaidi na walaji na pia si mbali na Dar kama Mlandizi. Pia unaweza kuanza na eneo ilo ukishazijua changamoto baadae unafungua shamba lingine maeneo jirani huwezi kosa ukishafika sehemu maana watu wengi wanauza mashamba ukikaa sehemu utawajua tu
 
Habari,

Natafuta shamba la kununua maeneo ya kibaha (eka tano), sifa la shamba;

1. Liwe mbali na makazi ya watu (isiwe too much) kwakuwa nataka kufugia nguruwe
2. Liwe jirani na maji (either ukichimba pawe na maji au shamba liwe jirani na chanzo chochote kile cha maji)
3. Eneo hilo liwe na usalama, pasiwe na wezi wa mifugo.

Mwenye shamba tuwasiliane haraka sana. Asanteni

kuna ndugu yangu analo, liko kalibu na chanzo maji baridi yasiyo kauka (mto), utaweza kufuga hiyo mifugo, unaweza kufuga na hata samaki aina ya sato, na pia unaweza kulima hata mazao ya miezi miwili kama matikiti maji n.k. Liko wilaya ya kibaha vijijini. ziko heka 15. Mpigie kwa namba hii kama atakuwa hajapauza 0674 -87 89 87.
 
Plot Ipo Kibada, Kigamboni. Shule na hospitali zinatarajia kiwa karibu. Ni umbali wa kama mita mia tano hivi kutoka barabara ya lami.

Bei 18.8M
Hati ya Plot ipo kwa jina langu na haina shida
Plot ipo Kibada, Block 9
Ukubwa wa plot ni 500 square meter

Contact: 0785 872 256
 
Back
Top Bottom