Maulid jnr
Member
- Mar 25, 2021
- 66
- 60
Habari za muda wa kuu , natafuta farm/shamba la kufugia kuku lenye mabanda makubwa yanayoweza kuingiza kuku takriban 50,000 au zaidi kwaajili ya kukodi.
Mambo muhimu kama umeme na maji viwepo site karibuni tushirikiane kwenye hili asanteni.
Kwa mawasiliano zaidi nicheki namba hii 0783150130
Nb: shamba /farm iwe Dar es Salaam au maeneo ya karibu na Dar es Salaam
Mambo muhimu kama umeme na maji viwepo site karibuni tushirikiane kwenye hili asanteni.
Kwa mawasiliano zaidi nicheki namba hii 0783150130
Nb: shamba /farm iwe Dar es Salaam au maeneo ya karibu na Dar es Salaam