Natafuta set up ya MicroSoft Office 2007 haraka

Babu Kijana

JF-Expert Member
Joined
Jan 24, 2013
Posts
589
Reaction score
278
Nipo hapa kariakoo mwenye nayo plz anipm au anielekeze zinapouzwa.
 
Naomba kuuliza wadau hivi kuna tofauti kubwa sana katika hizi MO 2007/2010 na 2013, binafsi natumia 2007 so najaribu kuangalia kama kuna ulazima wa ku upgrade kwenye hizi versions mpya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…