Natafuta sehemu ya kujitolea upande wa Procurement au store

Natafuta sehemu ya kujitolea upande wa Procurement au store

mbuyula

JF-Expert Member
Joined
Feb 2, 2014
Posts
389
Reaction score
68
Ni dada mwenye umri wa miaka 24 anatafuta sehemu ya kujitolea au tempo huku akiendelea kutafuta kazi maswala ya Procurement au store pia yuko tayari kwa ajira yoyote halali ni muhitimu wa mwaka 2013.

Msaidieni ndugu yangu, nasubiri PM zenu
 
Subira yavuta heri. Be patient and uwe makini coz kuna wagagagigikoko humu, wakisikia miaka 24 ndimi zinawatoka ka mbwa kachoka.
 
subira yavuta heri .....MUNGU amsaidie apate.awe mvumilivu hiki kipind ni kigumu
 
Uvumilivu ndiio unahitajika zaidi.professional yake nini au yupo tayari kwa kazi yeyote
 
Uvumilivu ndiio unahitajika zaidi.professional yake nini au yupo tayari kwa kazi yeyote

ana degree ya procurement and logistics management na pia yuko tayari kwa kazi yoyote halali
 
mbona hampiti kutoa hata ushauri jamani

Hao ndugu zetu hata tukiwaeleza wasome coz za ualimu then hayo mambo mengne yafuate wanajifanya kujua sasa wanabaki kudharirishwa tu hapa jamii forum, sasa procurement na kazi za ndani wapi na wapi?.Wenzake walimu post zishatoka wanaenda kujitafunia vipapatio vya kuku.
 
Hao ndugu zetu hata tukiwaeleza wasome coz za ualimu then hayo mambo mengne yafuate wanajifanya kujua sasa wanabaki kudharirishwa tu hapa jamii forum, sasa procurement na kazi za ndani wapi na wapi?.Wenzake walimu post zishatoka wanaenda kujitafunia vipapatio vya kuku.

Wewe unataka kila mtu awe Mwalimu?
 
Hao ndugu zetu hata tukiwaeleza wasome coz za ualimu then hayo mambo mengne yafuate wanajifanya kujua sasa wanabaki kudharirishwa tu hapa jamii forum, sasa procurement na kazi za ndani wapi na wapi?.Wenzake walimu post zishatoka wanaenda kujitafunia vipapatio vya kuku.

afu walimu hawathaminiwi. huyu akija kutoka atatoka kweli.
wewe na kaa na ukenge wako na akili mgando.
mshauri kwa alichonacho na sio ambacho hana.
kama kakosea haina haja ya kurudi darasani.
Watoto wako watakuja kuwa na shida ya malezi
 
ofcoz ni challenge, its better to help her! god will see yu
 
Hao ndugu zetu hata tukiwaeleza wasome coz za ualimu then hayo mambo mengne yafuate wanajifanya kujua sasa wanabaki kudharirishwa tu hapa jamii forum, sasa procurement na kazi za ndani wapi na wapi?.Wenzake walimu post zishatoka wanaenda kujitafunia vipapatio vya kuku.

kwa hiyo unataka kila mtu nnchi hii akasome ualimu? roten brain!!!!!. tatizo mawazo yako mafupi yanawaza milimita moja mbele,waambie hao uliowashauri wakasome ualimu kisa boom 100% na ajira ya fastafasta watafutane na hawa wa kozi nyingine baada ya miaka 10 utaona walivyopigwa gap. hujui mpaka leo easy come easy go! usikatishe watu tamaa na ufinyu wa mawazo yako usiejua uchumi wa nchi unaendeshwaje, we unawaza ualimu tu. beside! alifaulu vizuri form six ndo maana akachaguliwa kozi nyingine sio ualimu! mschiiiii!!!
 
Back
Top Bottom