Natafuta remote controller ya ASIASTAR satellite dish receiver

Natafuta remote controller ya ASIASTAR satellite dish receiver

CORAL

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2011
Posts
2,828
Reaction score
1,861
Nina receiver aina ya asiastar ambayo nilipata kutoka kwa rafiki yangu. Ni receiver yenye ubora mkubwa, hata kama channel fulani zinascratch kwenye receiver zingine ukiconnect asiastar zinatengemaa. Lakini remote yake imekuwa issue. Juhudi za kutafuta remote zimegonga mwamba hadi sasa. Kwa hiyo napata channel 6 yaani tbc1, itv,c5,capital na startv ambazo zilishakuwa installed zamani hivyo siwezi kuongeza zingine. Of course hiyo receiver ina channel kama 355 preinstalled lakini hazionyeshi, zanahitaji kudelete na kusearch upya. Naomba wadau kama kuna mtu anayeweza kunitafutia remote nitashukuru sana.
 
nenda uhuru kkoo makutano na msimbazi pale pana rimote nyingi, ukikosa itabidi utafute universal remote then ui configure itumie hio receiver yako
 
sure!chukua universal then una configure!au ukienda kariakoo kwa wauza ma dish watakuelekeza fresh,ila hujasema upo wap!labda upo bengazi sie tunakuagizia kariakoo.
 
Nina receiver aina ya asiastar ambayo nilipata kutoka kwa rafiki yangu. Ni receiver yenye ubora mkubwa, hata kama channel fulani zinascratch kwenye receiver zingine ukiconnect asiastar zinatengemaa. Lakini remote yake imekuwa issue. Juhudi za kutafuta remote zimegonga mwamba hadi sasa. Kwa hiyo napata channel 6 yaani tbc1, itv,c5,capital na startv ambazo zilishakuwa installed zamani hivyo siwezi kuongeza zingine. Of course hiyo receiver ina channel kama 355 preinstalled lakini hazionyeshi, zanahitaji kudelete na kusearch upya. Naomba wadau kama kuna mtu anayeweza kunitafutia remote nitashukuru sana.

haiwezekan ukasema umeitafuta umekosa kwani wew uko wapi??
Maana ucije ukawa uko masagate mbwinde au upo sitimbi tukawa tunakulaum bure na wadau wakukupa ushauri wa k/koo wakawa wanatwanga maji kwenye kinu.
Remot zipo nyingi xana labda wew 2 ndiyo ushindwe.
 
Ok comrades, nashukuru kwa michango yenu. Mimi niko Mbeya jijini ndiko nilikotafuta na kuwauliza mafundi wa kuinstall madish wanakiri kuwa ni ngoma nzito kupata remote. Kwa kuwa niko Mbeya naomba kama mtanifanyia hisani mkipata nafasi ya kupita kariakoo au mahali pengine mnichekie hiyo universal kama imeinclude ASIASTAR, mnipe jibu tafadhali.
 
Nisaidieni tafadhali.
 
kama umeshindwa nunua search google kuna kitu kinaitwa ir remote hii ni remote universal inaingia kwenye simu inatumia infrared simu yako iwe ni kuanzia nokia s60v3 then utaipata asia star yako
 
Asante sana chief-mkwawa simu yangu haina uwezo huo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom