Natafuta rafiki

Natafuta rafiki

queeny

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2012
Posts
584
Reaction score
421
jamani jamani niko kwenye upweke usiopimika. natafuta rafiki jinsia ya kiume mwenye uelewa wa maisha na mstaarabu asiwe na majigambo. nahitaji mtu wa kubadiishana naye mawazo ya kimaisha, taaluma, mahusiano etc. awe above 30 na asiwe mwanafunzi wa chuo. lengo langu hasa ni kushare life experiences ndo maana nahitaji mtu anayejitambua.

MUHIMU; mambo ya kutongozana sitaki kabisa. nahitaji rafiki sio mpenzi.
 
Miss Chagga utachezea Za chembe Shauri yako
Cc:Khantwe mwambie mi staki uchokozi lol
Khantwe acha uchokozi..... ninakutafutia rafiki mzuri huyu hapa we si upo above 35 vigezo na masharti kuzingatiwa
 
Last edited by a moderator:
kwa umri huo unaohitaji wote kama si wengi watakuwa ni waume za watu ,je wewe umeolewa ?mume wako analijua hili la kutafuta marafiki?by the way all the best kwani binafsi siamini kama mke wangu atanielewa kuwa eti rafiki wa kubadilisha mawazo duuu ,
 
jamani jamani niko kwenye upweke usiopimika. natafuta rafiki jinsia ya kiume mwenye uelewa wa maisha na mstaarabu asiwe na majigambo. nahitaji mtu wa kubadiishana naye mawazo ya kimaisha, taaluma, mahusiano etc. awe above 30 na asiwe mwanafunzi wa chuo. lengo langu hasa ni kushare life experiences ndo maana nahitaji mtu anayejitambua.

MUHIMU; mambo ya kutongozana sitaki kabisa. nahitaji rafiki sio mpenzi.

nipo ucjali
 
kwa umri huo unaohitaji wote kama si wengi watakuwa ni waume za watu ,je wewe umeolewa ?mume wako analijua hili la kutafuta marafiki?by the way all the best kwani binafsi siamini kama mke wangu atanielewa kuwa eti rafiki wa kubadilisha mawazo duuu ,

Noted mkuu-it's questionable aisee ila sijui ila kwangu mi naogopa aisee
 
kwa umri huo unaohitaji wote kama si wengi watakuwa ni waume za watu ,je wewe umeolewa ?mume wako analijua hili la kutafuta marafiki?by the way all the best kwani binafsi siamini kama mke wangu atanielewa kuwa eti rafiki wa kubadilisha mawazo duuu ,
mkuzi unataka mpaka utafuniwe kwani kibogoyo wewe
 
Last edited by a moderator:
kwa umri huo unaohitaji wote kama si wengi watakuwa ni waume za watu ,je wewe umeolewa ?mume wako analijua hili la kutafuta marafiki?by the way all the best kwani binafsi siamini kama mke wangu atanielewa kuwa eti rafiki wa kubadilisha mawazo duuu ,

inawezekana mkuu, if only u know your limits
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom