James Mwidoro
Member
- Aug 22, 2016
- 71
- 93
Habari wana jamii,
Mimi naitwa James na nina miaka 31, sijaoa wala sina mtoto. Natafuta rafiki wa kike ambae yupo serious katika urafiki tu na ambaye atakuwa muwazi katika kushirikishana mambo yanayotuhusu. Kigezo changu kikubwa ninayemuhitaji ni rafiki wa kike tu sitajali hata akiwaje, cha muhimu akubali kuwa rafiki kwangu na pia awe muwazi tu, nitashukuru sana.
Pia kama utaona huu uzi unakukera nitaomba upite bila kucomment wala kupm.
Mimi naitwa James na nina miaka 31, sijaoa wala sina mtoto. Natafuta rafiki wa kike ambae yupo serious katika urafiki tu na ambaye atakuwa muwazi katika kushirikishana mambo yanayotuhusu. Kigezo changu kikubwa ninayemuhitaji ni rafiki wa kike tu sitajali hata akiwaje, cha muhimu akubali kuwa rafiki kwangu na pia awe muwazi tu, nitashukuru sana.
Pia kama utaona huu uzi unakukera nitaomba upite bila kucomment wala kupm.