Natafuta rafiki wa kiume

Natafuta rafiki wa kiume

Mlikuwa wapi hadi mkifikisha 27 ndo mnakuja mitandaoni?????
 
mimi ni KE, nina miaka 27, natafuta rfk wa kiume kuanzia miaka 33-40, awe anajitambua, mkristo na awe na shughuli inayoeleweka na halali, elimu yake iwe kuanzia diploma hadi phd, mwenye nia anitafute: stream2island@gmail.com


kwa uzoefu wangu, wanawake wa kukutana nao mtandaoni ni tatizo au majanga, wa kukutana kwa basi au daladala at least, mnakaa mtaa mmoja angalau, mnasoma shule moja at least mnafahamiana tabia, mnasali pamoja ni nzuri zaidi, mmekutana bar majanga pia.
Sasa sijui inakuwaje?? ina maana kote huko darasani, kanisani hujapata friends au unataka wa nyongeza??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom