Natafuta rafiki wa kiume umri 45-65

Mimi ni mwanamke umri miaka 40.. Nina watoto..nahitaji kampani ya mwanaume alie single... Ambae aliachwa na mke au alifiwa, au aliacha mwanamke kwa sababu isiyoweza kuvumilika..awe anajiheshimu..awe mtulivu na kwenye maendeleo na asiwe tegemezi
Ni PM
 
Mimi ni mwanamke umri miaka 40.. Nina watoto..nahitaji kampani ya mwanaume alie single... Ambae aliachwa na mke au alifiwa, au aliacha mwanamke kwa sababu isiyoweza kuvumilika..awe anajiheshimu..awe mtulivu na kwenye maendeleo na asiwe tegemezi
Mama mimi baba mdogo wangu anatafuta mke ila yupo single hajawahi kuoa wala kuachwa na mke,je nikuunganishe kwake?
 
Mimi ni mwanamke umri miaka 40.. Nina watoto..nahitaji kampani ya mwanaume alie single... Ambae aliachwa na mke au alifiwa, au aliacha mwanamke kwa sababu isiyoweza kuvumilika..awe anajiheshimu..awe mtulivu na kwenye maendeleo na asiwe tegemezi
mtaani kwenu hawapo
huyu hapa
3dbff07171c20741bd6e30092fcc3afd.jpg
 
Inaonyesha Mungu si wa mmoja.Leo kafungua mikono yake kutuwekea baraka tuliokwisha kata tamaa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom