miley
Member
- Aug 2, 2013
- 87
- 14
Mimi nina miaka 49 nina mke na watoto 3. Nataka rafiki kati ya miaka 30-45. Awe mstaarabu na kujiheshimu. Asiwe na marafiki wengi wa kike. Mzuri kwa sura na umbo. Awe maji kunde au mweusi. Elimu ya uelewa. Asiwe kaolewa. anajitegemea/ kazi au mjasiriamali. Tuwasiliane ktk. PM au e mail ggmil@yahoo.com.facebook@milanzi