raamar
JF-Expert Member
- Aug 17, 2014
- 252
- 23
Asante mwanangu kwa kunitusi kimombo.... nakuombea ufike umri wangu upate mwanao akutukane kama ulivyonitusi pia!
umezidi dharau acheni kukatisha wenzenu tamaa,kwanini ww usingetoa uzi wako hapa mpaka unaanza kumkatisha tamaa dogo apo,au wewe ndyo muongozaji wa huu mtandao,acha dharau
nshaombewa saaana na mpaka sasa nakula maisha tu