Mimi ni mvulana mwenye umri wa miaka 25 niliehitim chuo mwaka jana. Natafuta mwanamke ambae yupo tayari kuoana, awe na umri wa miaka 20-30 sna ubaguzi wa rangi, dini, wala kabila, karibu sana japo kwa sasa naendelea kutafuta kazi ya kudumu.
Ni Pm kwa mawasiliano zaidi kama kwel unania ya dhati.
Nahitimisha.
Mwanamke Utayari kuishi nami kipindi hiki natafuta kazi ya uhakika atapewa kipaumbele.
Ni Pm kwa mawasiliano zaidi kama kwel unania ya dhati.
Nahitimisha.
Mwanamke Utayari kuishi nami kipindi hiki natafuta kazi ya uhakika atapewa kipaumbele.