ngungwangungwa
JF-Expert Member
- Jul 23, 2013
- 649
- 583
Wakuu umofia kwenu.. km kuna yeyote anashida na hela na ana radio subwoofer ndogo Tu ya kawaida ani-dm nimuokoe na yeye aniokoe. Sitaki radio kubwa ya bei ya kubwa ndo maana nimekuja hapa. Maduka ya radio nayajua ila Sina hizo hela.. ahsanteni..!!