malembeka18
JF-Expert Member
- Jan 26, 2018
- 3,771
- 4,445
- Thread starter
- #21
Mgongo unaniuma nikiwa nimekaa au nimelala katikati ya mgongo kunauma kupanda juu ktk mabegaInabidi ijulikane mgongo uko na shida gani kwanza.. Ika kama anataka kuchua na kunyoosha tuu aende spa.. [emoji23][emoji23][emoji23]Zipo kibao
Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app