za kazi wadau,,, natafuta digital camera, a proffesional one, preffarably sony, or canon.. Mwenye kufanya biashara za kuuza camera, tafadhali changamkia hiyo... Natanguliza shukrani za dhati
za kazi wadau,,, natafuta digital camera, a proffesional one, preffarably sony, or canon.. Mwenye kufanya biashara za kuuza camera, tafadhali changamkia hiyo... Natanguliza shukrani za dhati
Ninayo Canon Mark II 5D naweza kukuuzia kwa milioni 4 Body pamoja na Lens ya 70-100mm bila flash. Kama unataka professional camera kweli. Na hii camera pia inafanya HD videos na ndo inatumika sana kufanya videos mamtoni.
Hii ni movie moja wapo ambayo wametumia hii camera
Ninayo Canon Mark II 5D naweza kukuuzia kwa milioni 4 Body pamoja na Lens ya 70-100mm bila flash. Kama unataka professional camera kweli. Na hii camera pia inafanya HD videos na ndo inatumika sana kufanya videos mamtoni.
Hii ni movie moja wapo ambayo wametumia hii camera
za kazi wadau,,, natafuta digital camera, a proffesional one, preffarably sony, or canon.. Mwenye kufanya biashara za kuuza camera, tafadhali changamkia hiyo... Natanguliza shukrani za dhati
Mkuu habari za kazi.Mimi huwa nauza Camera za kutokea Uingereza na kuna mzigo upo njiani nategemea katikati ya wiki hii utafika.Sasa kuna Sony Alpha Pofessional A200 10.2MP Digital SLR Camera.Nauza pamoja na Lens SIGMA 70-210 mm F4/5.6 Auto focus Zoom Multi coated Lens,Compact Flash Memory Card 4GB pamoja na charger.Bei ni Tshs 650,000.Kama upo happy naomba unitumie PM halafu nitakupa namba ya simu nilie mkabidhi.