Architect E.M
JF-Expert Member
- Nov 15, 2010
- 1,211
- 1,360
za kazi wadau,,, natafuta digital camera, a proffesional one, preffarably sony, or canon.. Mwenye kufanya biashara za kuuza camera, tafadhali changamkia hiyo... Natanguliza shukrani za dhati
za kazi wadau,,, natafuta digital camera, a proffesional one, preffarably sony, or canon.. Mwenye kufanya biashara za kuuza camera, tafadhali changamkia hiyo... Natanguliza shukrani za dhati
Ninayo Canon Mark II 5D naweza kukuuzia kwa milioni 4 Body pamoja na Lens ya 70-100mm bila flash. Kama unataka professional camera kweli. Na hii camera pia inafanya HD videos na ndo inatumika sana kufanya videos mamtoni.
Hii ni movie moja wapo ambayo wametumia hii camera
asante boss,,, lakini hii ni kubwa saaana mkuu,,, this is extra proffesional.... Na bei yake pia ni toooo much out of my budget
za kazi wadau,,, natafuta digital camera, a proffesional one, preffarably sony, or canon.. Mwenye kufanya biashara za kuuza camera, tafadhali changamkia hiyo... Natanguliza shukrani za dhati
kamba!na ndo inatumika sana kufanya videos mamtoni.
Hii ni movie moja wapo ambayo wametumia hii camera