Natafuta pikipiki aina ya Yamaha DT 125 ya kununua iliyonyooka iwe na documents zote kama unayo piga hapa 0752883171.
Okay shukrani sana mkuu.Dili na wakurugenzi wa serikali au ma bwana shamba wa serikali za mitaa maana kuna za magao waliokuwa wamegewa wengine wameshindwa kuzuhudumia zimefungiwa stoo tuu.
Dukani zipo ila bei mara ya mwisho kuulizia mwaka jana nimekuta ni 11milioni