moses ngete
New Member
- Mar 24, 2019
- 1
- 1
Mimi ni mtaalamu wa uchenjuaji madini ya dhahabu nipo maeneo ya geita/kahama zone. Nikiwa kama mtaalamu na mzoefu wa fani hii natafuta mshirika kwenye uwezo wa kifedha tuwekeze kwenye uchenjuaji madini.kwanza material tutayatoa kwa wachimbaji wadogo kwa kuangalia ore grade na kuweza kuyanunua if possible na kuyapeleka gold plant kwa kufanya ore benefication kwa kutumia chemical aids mbalimbali znazoitajika
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app