realinvestor
Member
- Nov 19, 2018
- 10
- 10
Natafuta serious Partiner wa kufanya nae biashara ya Petrol Station. Nina kiwanja tayari chenye ukubwa wa sqm zaidi ya 3000,eneo lina future ya biashara kwa kuwa hakuna kituo cha mafuta maeneo jirani,Kiwanja kimeshaingizwa ktk ramani za mipango miji imebaki kufainalize some process and payments, mashine ninazo jumla zipo tano 5 za petrol,diesel na mafuta ya taa..Budget yote ya makadirio ilikuwa kama 250 milioni,niliandaa workplan and budget mwenyewe,tunaweza kuziboresha na kuandaa business plan..
Any serious person namkaribisha PM tuzungumze.Awe na capital ya kutosha,mipango mizuri yabiashara na awe business oriented person.Its a serious deal!
Any serious person namkaribisha PM tuzungumze.Awe na capital ya kutosha,mipango mizuri yabiashara na awe business oriented person.Its a serious deal!