Natafuta oda ya kusambaza mchele

Natafuta oda ya kusambaza mchele

Emmathias

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2018
Posts
681
Reaction score
968
Kwa majina naitwa James Emmanuel nina umri wa 27 nimehitumu chuo kikuu mwaka jana mwezi wa 8, Hivyo kulingana na janga la ukosefu wa ajira nimeamua kujiajiri kupitia biashara ya Mchele.

Mchele wangu unatoa KAHAMA na kuleta Moshi - Kilimanjaro. Mchele wangu ni mzuri wenye sifa,ulionyooka na unanukia.

Nimekuja humu JF kutafuta mtu ambaye atakuwa anahitaji mchele kwa matumizi ya nyumbani, hotelini, mikutanoni nk. Ili aweze kuniungusha. Na kama utakuwa na hoteli basi naomba unipe oda niwe nakuletea mpka ulipo.

Kuhusu bei mchele wangu una bei nafuu sana, kwa mawasiliano zaidi naomba uje PM

Natanguliza shukrani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hamna haja ya kusema kutokana na janga la ukosefu wa ajira kijana. Kwan ulitaka ukimaliza tu siku hiyo uingie kwenye ajira. Anyway pambana maisha ni kujaribu huku na kule kulingana na furusa zinapopatika.

Sent using Jamii Forums mobile app
"Hamna haja ya kusema kutokana na janga la ukosefu wa ajira kijana" sawa mkuu Nimekuelewa. Asante kwa comment Nzuri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa majina naitwa James Emmanuel nina umri wa 27 nimehitumu chuo kikuu mwaka jana mwezi wa 8, Hivyo kulingana na janga la ukosefu wa ajira nimeamua kujiajiri kupitia biashara ya Mchele.

Mchele wangu unatoa KAHAMA na kuleta Moshi - Kilimanjaro. Mchele wangu ni mzuri wenye sifa,ulionyooka na unanukia.

Nimekuja humu JF kutafuta mtu ambaye atakuwa anahitaji mchele kwa matumizi ya nyumbani, hotelini, mikutanoni nk. Ili aweze kuniungusha. Na kama utakuwa na hoteli basi naomba unipe oda niwe nakuletea mpka ulipo.

Kuhusu bei mchele wangu una bei nafuu sana, kwa mawasiliano zaidi naomba uje PM

Natanguliza shukrani

Sent using Jamii Forums mobile app
Unasema kulingana na janga LA ukosefu wa ajira wakati hiyo biashara ya Mchele tayari ni ajira
 
Kwa majina naitwa James Emmanuel nina umri wa 27 nimehitumu chuo kikuu mwaka jana mwezi wa 8, Hivyo kulingana na janga la ukosefu wa ajira nimeamua kujiajiri kupitia biashara ya Mchele.

Mchele wangu unatoa KAHAMA na kuleta Moshi - Kilimanjaro. Mchele wangu ni mzuri wenye sifa,ulionyooka na unanukia.

Nimekuja humu JF kutafuta mtu ambaye atakuwa anahitaji mchele kwa matumizi ya nyumbani, hotelini, mikutanoni nk. Ili aweze kuniungusha. Na kama utakuwa na hoteli basi naomba unipe oda niwe nakuletea mpka ulipo.

Kuhusu bei mchele wangu una bei nafuu sana, kwa mawasiliano zaidi naomba uje PM

Natanguliza shukrani

Sent using Jamii Forums mobile app
Tuwasiliane 0718-321418 WhatsApp WhatsApp

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom