Habari wakuu.Natafuta gheto la kupanga liwe karibu na chuo udsm mana naskia mwaka huu wanakaza kubebana
Nadhani mngeweka bei wakuu, hata mie natafuta
Ni gheto mkuu
niko na wenzangu
bei ya chumba tunaelewana mkuu
Ni gheto mkuu
niko na wenzangu
bei ya chumba tunaelewana mkuu
mkuu wanasema mwaka huu ile hospitali ya chuo ndo inaongoza kwa maambukizi ya T.B dsm nzima....na sababu kubwa wanasema ni kubebana kwahio mwaka huu wanaweza kukaza tofauti na miaka iliyopita