Polisi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 2,082
- 639
naomba msaada kwa walio musoma mjini kwa ajili ya kijana wangu ambaye amepata kazi huko. anahitaji chumba kimoja au viwili tu na ikiwa self ni vizuri zaidi au nyumba ambayo inawapangaji wasiozidi 3. apartment kama zipo more preffered. hata kama kuna jamaa ambaye unamfahamu anaweza kutusaidia au hata kama ni dalali tupatie contact zake. Budget tsh. 50,000 - 80,000.