Mkuu wewe si timu JPM...mtafute mwenyekiti wa ccm mbeya mjini atakusaidia kutafuta nyumba#jokingTafadhali mwenye kunisaidia kupata nyumba ya kupanga Mbeya mjini. 1. Angalau km 2-5 kutoka stendi kuu, 2. Vyumba 2-3, 3. Isiwe na mpangaji mwingine, 4. Iwe na umeme na maji. 5. Uzio au geti