Ndugu wana JF, natafuta nyumba ya kupanga maeneo ya Ilala au Magomeni. Nyumba iwe yenye vyumba viwili vya kulala na sitting room na jiko. Naomba msaada wenu ndugu.
ilala au Magomeni? unataka kufungua biashara au?, mimi sijuhi kwa nini mtu akiseama ilala au Magomeni mawazo yangu yanakimbila Amana club, Traventine/lango la jiji na mambo ya taarabu na pilika kama hizo,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.