maeneo unayoyataka bila dalali uwezekano wa kupata ni mdogo. Wenye nyumba wengi maeneo hayo hata ukienda atakuelekeza kwa dalali kwanza maana unakuta madalali ni wadogo zao, wapwa, mashemeji etc...so lazima wakusukumie kwao ili nao wakuchomoe.....it is a sad fact!!!
sijui watu mna masikio gani na macho gaani si umesoma hapo hataki dalali we unatoa tena namba ya dalali.Kama unataka mtoni kijich, dalali 0714883861