Bandugu wanaJF:
Heshima kwenu nyote:
Naombeni msaada wenu wa kupata pa kuishi.
Natafuta nyumba ya kupanga huko Morogoro. Nyumba iwe katika maeneo Salama na mazuri ya kuishi Kama vile Kola, Forest Hill N.K. Nyumba iwe na vyumba kati ya vitatu na vinne. Iwe ya kisasa na yenye fence. Maji na umeme ni vitu vya msingi na lazima. Ikiwa na samani ndani yake basi itakuwa ni vema na haki. Madalali wa huko wamenizingua na kunipotezea muda wangu. Ni PM kama unayo nyumba nzuri na yenye kukidhi viwango hivyo hapo juu.
Heshima kwenu nyote:
Naombeni msaada wenu wa kupata pa kuishi.
Natafuta nyumba ya kupanga huko Morogoro. Nyumba iwe katika maeneo Salama na mazuri ya kuishi Kama vile Kola, Forest Hill N.K. Nyumba iwe na vyumba kati ya vitatu na vinne. Iwe ya kisasa na yenye fence. Maji na umeme ni vitu vya msingi na lazima. Ikiwa na samani ndani yake basi itakuwa ni vema na haki. Madalali wa huko wamenizingua na kunipotezea muda wangu. Ni PM kama unayo nyumba nzuri na yenye kukidhi viwango hivyo hapo juu.