Natafuta Nyumba inayouzwa

Mwiba

JF-Expert Member
Oct 23, 2007
7,607
1,744
Natafuta nyumba inayouzwa Daresalaam,pia itakapopatikana muuzaji akubali kuwepo kwa wakili.Yaani nyaraka zote zitapitia kwenye uhakiki au zitahakikiwa na wakili ,na tangazo pia litawekwa kwenye nyumba hiyo kuwa nyumba imeuzwa kwa mwenye pingamizi ,kwa muda wa siku saba.
 
Dar kubwa sana, na msg yako haijabeba uzito stahili

unahitaji nyumba ya size gani? (1,2,3,4.. bedroom), ya aina gani? (Ghorofa au ya kawaida), iwe maeneo gani? (Dar kubwa Mkuu), Eneo gani ?(Karibu na Msikiti, Kanisa, stand, Soko), yenye Hati au? na mwisho Kabisa uweke na bei yako (angalau Range)
 
Natafuta nyumba inayouzwa Daresalaam,pia itakapopatikana muuzaji akubali kuwepo kwa wakili.Yaani nyaraka zote zitapitia kwenye uhakiki au zitahakikiwa na wakili ,na tangazo pia litawekwa kwenye nyumba hiyo kuwa nyumba imeuzwa kwa mwenye pingamizi ,kwa muda wa siku saba.

mkuu usiwe na hofu ila kwa kukusaidia wasiliana na na mtu mwenye namba hii (siyo dalali) 0654 19 73 89 au 0752 78 98 93 atakuasaidia lakini ni vizuri pia uka specify nyumba yenyewe, uko too general
thanks
 
too general my dear, specify, na uwe serious bana sio una wa keep watu busy halafu unaingia mitini.

mimi ninayo
ilipo:tegeta masaiti
kiwanja:16mx25m with title deed
jengo:la cement block
specs:3brdms with built in wooden wardrobes(one ensuite with a/c);sitting room;dining room;kitchen with wooden cabinets+store;shower;toilet and outer building with big storeroom and bath/toilet;paved by interlocking block whole plot;whole hse floor tiled;roof with harvey tiles and gypsum;woden doors and windows with glas panels;8feet cement wall fence with steel gate;24 hrs dawaco water;3 phase tanesco mains;4000ltrs waters resevoirs
(all woodworks in mninga)
price $100,000 fixed
karibu
 
Kwa ufupi sitanii ,Contact 0715472232 ,unaweza kumueleza kama anatafuta nyumba ,jibu ikiwa ndio basi utamueleza wapi ipo ili aweze kuiona ,kwa taarifa tu nimeshapata lakini moja ina wapangaji na nyingi bado zinahitaji kujengwa ,mi nilikuwa nahitaji iliokwisha kujengwa nihamie tu ,kwa ufupi maeneo ya mbezi au hata mjini kwenye nyumba zilizo pangika na zina eneo,first priority ni mkoa wa DSM na second ni Mtwara ,Mtwara nimeshazuia au nimeshapata ambayo itahitaji milioni 14 nyumba kubwa tu na imeezekwa tilez na eneo lake kubwa sana na ni mita miatatu kutoka bandarini. Hio nilioonyeshwa dar ambayo ina wapangaji ina vyumba sita na wapangaji kila mmoja analipa 20000/ kwa mwezi.Na mwisho nyumba iwe na doc kamili na yenye kulipiwa kodi ya kiwanja na iwe mwenyewe ni nambari moja yaani awepo na mwenye kuonekana na kuweza kuchukua dhamana ya mahakama kwamba anauza nyumba isiyo na matatizo nikimaanisha nambari ya kiwanja inalingana na kimesajiliwa kwa jina lake tokea wizarani mpaka shinani ,sio cha kupokezana.
 
Kwa ufupi sitanii ,Contact 0715472232 ,unaweza kumueleza kama anatafuta nyumba ,jibu ikiwa ndio basi utamueleza wapi ipo ili aweze kuiona ,kwa taarifa tu nimeshapata lakini moja ina wapangaji na nyingi bado zinahitaji kujengwa ,mi nilikuwa nahitaji iliokwisha kujengwa nihamie tu ,kwa ufupi maeneo ya mbezi au hata mjini kwenye nyumba zilizo pangika na zina eneo,first priority ni mkoa wa DSM na second ni Mtwara ,Mtwara nimeshazuia au nimeshapata ambayo itahitaji milioni 14 nyumba kubwa tu na imeezekwa tilez na eneo lake kubwa sana na ni mita miatatu kutoka bandarini. Hio nilioonyeshwa dar ambayo ina wapangaji ina vyumba sita na wapangaji kila mmoja analipa 20000/ kwa mwezi.Na mwisho nyumba iwe na doc kamili na yenye kulipiwa kodi ya kiwanja na iwe mwenyewe ni nambari moja yaani awepo na mwenye kuonekana na kuweza kuchukua dhamana ya mahakama kwamba anauza nyumba isiyo na matatizo nikimaanisha nambari ya kiwanja inalingana na kimesajiliwa kwa jina lake tokea wizarani mpaka shinani ,sio cha kupokezana.

Hiyo yangu huitaki?
 
Kwa ufupi sitanii ,Contact 0715472232 ,unaweza kumueleza kama anatafuta nyumba ,jibu ikiwa ndio basi utamueleza wapi ipo ili aweze kuiona ,kwa taarifa tu nimeshapata lakini moja ina wapangaji na nyingi bado zinahitaji kujengwa ,mi nilikuwa nahitaji iliokwisha kujengwa nihamie tu ,kwa ufupi maeneo ya mbezi au hata mjini kwenye nyumba zilizo pangika na zina eneo,first priority ni mkoa wa DSM na second ni Mtwara ,Mtwara nimeshazuia au nimeshapata ambayo itahitaji milioni 14 nyumba kubwa tu na imeezekwa tilez na eneo lake kubwa sana na ni mita miatatu kutoka bandarini. Hio nilioonyeshwa dar ambayo ina wapangaji ina vyumba sita na wapangaji kila mmoja analipa 20000/ kwa mwezi.Na mwisho nyumba iwe na doc kamili na yenye kulipiwa kodi ya kiwanja na iwe mwenyewe ni nambari moja yaani awepo na mwenye kuonekana na kuweza kuchukua dhamana ya mahakama kwamba anauza nyumba isiyo na matatizo nikimaanisha nambari ya kiwanja inalingana na kimesajiliwa kwa jina lake tokea wizarani mpaka shinani ,sio cha kupokezana.

Mkuu nyumba bwelele ziko mtandanoni zinauzwa. Gonga HAPA
 
Mkuu nyumba bwelele ziko mtandanoni zinauzwa. Gonga HAPA

Site nzuri lakini sijaona nyumba inayouzwa kwani bei zilizopo naweza kupata kiwanja na kujenga kuliko hizo ,yaani hata gari inaingia mpaka chumbani au ukumbini, kuna viwanja vinapatikana Mbagala njia mpya ambayo itakuwa ikielekea Dar Inter'Airport ,kama mnaelewa kuwa njia ya airport ya zamani itakuwa ni ya zamani ,ilivyo kwa sasa ni utanuzi wa njia hio ya mbagala na wageni wote watakuwa wakitumia njia hiyo ,kwa maana itakuwana hadhi ya barabara ya Kimataifa kwa maana hiyo usafiri utakuwa mzri na wa haraka ,kwa wakati huo jengo katika barabara hizo itakuwa mali na huu ni wakati mzuri wa kununua plot katika mpito wa njia hiyo ,tayari ninayo nyumba na sasa nasaka plot.
Nakushauri kama una kitita zuia plot maeneo hayo. Kuna dili ya kuifanya njia inayoelekea kusini mwa Tanzania kuweza kutumika kama njia kuu itakayotumika kwa nchi za kusini,ila weka kando hayo.
 
Nunua kiwanja chenye nyumba maeneo ya Mbezi kwa Msuguri (Msingwa) Dar es Salaam.
Kwa maelezo zaidi wasiliana na ndugu Oswald Sh. Richard kwa simu namba :
00255784342632 au +255767342632
E-mail : cosiastore@yahoo.fr

1. Kiwanja kipo umbali wa kilomita tatu toka barabara ya Morogoro. Kiwanja hiki kipo kando ya barabara ya Msingwa ambayo ni ya changarawe na inapitika. Kina mita 30x40, pia kina nyumba ya vyumba viwili na baraza mbili. Nyumba hii ina umeme. Pia maji yanapatikana mita mia tatu toka kiwanjani. Bei yake ni Tshs. 55 milioni.
 
Back
Top Bottom