Mwiba
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 7,607
- 1,744
Natafuta nyumba inayouzwa Daresalaam,pia itakapopatikana muuzaji akubali kuwepo kwa wakili.Yaani nyaraka zote zitapitia kwenye uhakiki au zitahakikiwa na wakili ,na tangazo pia litawekwa kwenye nyumba hiyo kuwa nyumba imeuzwa kwa mwenye pingamizi ,kwa muda wa siku saba.