Natafuta NOAH LITEACE kwa 10m

Natafuta NOAH LITEACE kwa 10m

ahaaa na za 8 m nzur yaweza kupatikana
 
Mkuu niongezee ifike 22m nikupe Isuzu Bighorn

gari gani hiyo kwa 22m... Si bora nikanunue gazeti nijipepeee... Hata m5 sitoi...... Isuzuuuuuu bighorn gari mbovu injini inanguruma kama mashine ya kukoboa mpunga
 
gari gani hiyo kwa 22m... Si bora nikanunue gazeti nijipepeee... Hata m5 sitoi...... Isuzuuuuuu bighorn gari mbovu injini inanguruma kama mashine ya kukoboa mpunga

We acha hizi gari kama unatoka Dar unaenda hapo Moro tu,basi ukishuka mtu akikutukana wala husikii,na unaweza ukawa unacheka tu unajua anakusalimia.Masikio yanaziba kwa muda kadhaa,na usiku ukilala unaona kama unapaa na jeneza lenye Engine
 
10m hope utapata,ila hizi gari watu wengi wa Dar wanauza engine zake zikiwa zimechoka saaana.
Maana hapo kwa Liteace au Townace Noah unaweza kujikaza mpaka kwa 12 ukamshusha mtu Yard na ukawa na gari ya uhakika na dhamana.

Unaweza kwenda Yard na 10m,then ukawaomba wakakupa muda wa kumalizia,kama ni muajiriwa wa Serikalini hope watakupa gari bila masharti magum saana,zaidi ya mkataba tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom