LivingBody
Senior Member
- Nov 21, 2010
- 166
- 15
Habari wana jamii,
Najaribu kutafuta watu nilopotezana nao muda mrefu, nisoma nao na kuishi nao.
mimi nilimaliza shule ya msingi Mgulani, Dar mwka 1990, enzi za Mwl Mkuu Mama Mwakianjala, na Mwl Masawe.
kuna watu ambao nawakumbuka kama kulikuwa na jamaa mmoja mkuu wa kikundi cha ngoma,, Mohamedi Mbuju, huyu tulimaliza nae shule na jamaa akina Mkundwe Mwasaga, Filbert Garusi na wengine,
Sekondary, nimesomea Montfort, Rujewa.
so, kama humu jamvini tumo pasi tuwasiliane,, plz
asanteni.
Najaribu kutafuta watu nilopotezana nao muda mrefu, nisoma nao na kuishi nao.
mimi nilimaliza shule ya msingi Mgulani, Dar mwka 1990, enzi za Mwl Mkuu Mama Mwakianjala, na Mwl Masawe.
kuna watu ambao nawakumbuka kama kulikuwa na jamaa mmoja mkuu wa kikundi cha ngoma,, Mohamedi Mbuju, huyu tulimaliza nae shule na jamaa akina Mkundwe Mwasaga, Filbert Garusi na wengine,
Sekondary, nimesomea Montfort, Rujewa.
so, kama humu jamvini tumo pasi tuwasiliane,, plz
asanteni.