Natafuta Namba ya kituo cha polisi Kawe

Mimi ningemfuata na kumwambia ukweli.akikataa nitaizima kwa nguvu.akileta ubishi tutachapana makonde.atakayezidiwa ndo ataenda polisi.
 
SITAKI AJUE NI MIMI NAMCHOMEA MAANA SIJUI HATA KAMA ANA MAKARATASI YA KUKAA HAPA BONGO

Kwa post zako za kila siku si ajabu kuna yaliyo nyuma ya pazia !! Haimeki sense kabisa, unamchomea vp km anafanya hayo ? Je unauathirika ni ww tu na hakuna majirani wengine ? Hao wa mtaa na viongozi wengine hawapo...!!
 
Kwa post zako za kila siku si ajabu kuna yaliyo nyuma ya pazia !! Haimeki sense kabisa, unamchomea vp km anafanya hayo ? Je unauathirika ni ww tu na hakuna majirani wengine ? Hao wa mtaa na viongozi wengine hawapo...!!
Kwa post zako za kila siku si ajabu kuna yaliyo nyuma ya pazia !! Haimeki sense kabisa, unamchomea vp km anafanya hayo ? Je unauathirika ni ww tu na hakuna majirani wengine ? Hao wa mtaa na viongozi wengine hawapo...!!
pita kule
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…