Natafuta Mwenza !!

hahahaha...:lol:
Inamsaidia na yeye kwenye list ya thanks zake, maana hana hata moja!!!

Duuuuh
Nilikuwa sijaiona hii
Ngja basi nikugongee yangu ambayo ni tamu zaidi, ina processor ndani kabisa
(nina wivu utafikiri nimeshakuoa)


The Following User Says Thank You to Keren_Happuch For This Useful Post:

CPU (Today)​
 
Kuna haja ya kuanza kuyalipisha haya matangazo sasa. Yamekuwa mengi mnoo!
 

Jamani wewe CPU, usinitafutie balaa mwenzio....si ni juzi tu hapa kulikuwa na shamrashamra sijui za harusi??!!!!
 
mkipata wachumba mkuwe mnatujulisha ili tuanzishe ma sredi ya michango. asanteni kwa ushirikiano
 
Jamani wewe CPU, usinitafutie balaa mwenzio....si ni juzi tu hapa kulikuwa na shamrashamra sijui za harusi??!!!!

Nani kasema???
Hii tutakayofanya ndio itakuwa harusi origino
 
Akaaa, mimi siwezi! kama hiyo hata mwezi haujaisha...mi nitamuweza CPU...labda kuna virus...:lol:

Ile ilikuwa harusi mwanasesere, usiogope Virusi switi,
Mwasapile bado yuko hai
 
Ile ilikuwa harusi mwanasesere, usiogope Virusi switi,
Mwasapile bado yuko hai

Mhhh...babu sasa amekuwa jibu ya kila kitu!!!

haya bana...nikutakie usku mwema. Mimi natawanyika sasa!
 


Mkuu umeweka vigezo vizuri sana nadhani utapata tu majibu,ila pia vile vile kuna mahali nimeumia sana roho aise...Huwezi kusema kwamba hutaki mwanamke anayenuka au anayenuka mdomo sio lugha nzuri mkuu so nadhani ingekuwa vizuri zaidi kama ungeedit topic yako na kurekebisha kama inawezekana please please mkuu fanya hivyo......Maana hawa wadada nawaheshimu sana yaani sio mdogo wangu,mkubwa wangu,au mwanamke wa aina yoyote yule nampa respect so nilivyosoma comment yako naona sio nzuri kwa kweli..........
 


Hahahaha na wewe ndio unapenda watu wa hivyo au sio??Nadhani mkuu atakuwa navyo tu mPM akupe more details!
 

Vigezo vyoooooote ninavyo. Tutaongea mwaya.
Asi utanipa na mimi gari eeh!!!
 
Mpenzi, nipe tu PM tuongee zaidi, kwanza mwenyewe utafurahi... Tuwasiliane basi

Dah, hebu nipe muda niombe kwanza aisee, nisije nikafika nikakutana na kibuti cha hapo kwa hapo!!!
 
Najaribu kuhisi picha ya huyo mwembamba mwenye maziwa makubwaaa, yaani hiyo picha naona kama haiji na once inapokuja inakuwa kama ghost vile!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…