Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 26,953
- 49,705
~ Uwe mtu mzima zaidi ya miaka 40 hadi 45.
~ Uwe tayari kwa familia.
~ Usiwe mlokole au msabato.
~ Uwe na kipato yaani uwe unajishughulisha.
~ Usiwe ushawai kuoa/kuolewa / ushawai kufunga ndoa popote.
~ Usiwe na vyeti feki.
~ Usiwe na watoto zaidi ya wawili maana muhusika anaitaji kuzaa 3.
~ Uwe tayari kwa hiv test.
~Mimi ni midle man tu ila kila ombi litapewa kipaumbile litalifikisha kwa muhusika.
Kama unaitaji njoo pm, elezea;
~ Umri wako.
~ Dini.
~ Unapoishi, na matarajio yako kimaisha kwa ufupi.
~ Uwe tayari kwa familia.
~ Usiwe mlokole au msabato.
~ Uwe na kipato yaani uwe unajishughulisha.
~ Usiwe ushawai kuoa/kuolewa / ushawai kufunga ndoa popote.
~ Usiwe na vyeti feki.
~ Usiwe na watoto zaidi ya wawili maana muhusika anaitaji kuzaa 3.
~ Uwe tayari kwa hiv test.
~Mimi ni midle man tu ila kila ombi litapewa kipaumbile litalifikisha kwa muhusika.
Kama unaitaji njoo pm, elezea;
~ Umri wako.
~ Dini.
~ Unapoishi, na matarajio yako kimaisha kwa ufupi.