Natafuta mwenza wa kiume

Miss Natafuta

JF-Expert Member
Sep 16, 2015
26,953
49,705
~ Uwe mtu mzima zaidi ya miaka 40 hadi 45.
~ Uwe tayari kwa familia.
~ Usiwe mlokole au msabato.
~ Uwe na kipato yaani uwe unajishughulisha.
~ Usiwe ushawai kuoa/kuolewa / ushawai kufunga ndoa popote.
~ Usiwe na vyeti feki.
~ Usiwe na watoto zaidi ya wawili maana muhusika anaitaji kuzaa 3.
~ Uwe tayari kwa hiv test.
~Mimi ni midle man tu ila kila ombi litapewa kipaumbile litalifikisha kwa muhusika.

Kama unaitaji njoo pm, elezea;
~ Umri wako.
~ Dini.
~ Unapoishi, na matarajio yako kimaisha kwa ufupi.
 
uwe mtu mzima zaidi ya miaka 40 hadi 45
uwe tayari kwa familia
usiwe mlokole au msabato.
uwe na kipato yaani uwe unajishughulisha
usiwe ushawai kuoa/kuolewa / ushawai kufunga ndoa popote
usiwe na vyeti feki
usiwe na watoto zaidi ya wawili maana muhusika anaitaji kuzaa 3
uwe tayari kwa hiv test
mimi ni midle man tu ila kila ombi litapewa kipaumbile litalifikisha kwa muhusika.

Mimi nina vigezo vyote lakini sasa nakutaka wewe Miss Natafuta.
 
uwe mtu mzima zaidi ya miaka 40 hadi 45
uwe tayari kwa familia
usiwe mlokole au msabato.
uwe na kipato yaani uwe unajishughulisha
usiwe ushawai kuoa/kuolewa / ushawai kufunga ndoa popote
usiwe na vyeti feki
usiwe na watoto zaidi ya wawili maana muhusika anaitaji kuzaa 3
uwe tayari kwa hiv test
mimi ni midle man tu ila kila ombi litapewa kipaumbile litalifikisha kwa muhusika.
Nimependa ulivyo jiamin pamoja mtu kupewa namba pm itabidi ajipange haswa usije mpa namba ya beki tatu wako!!

Wengine hapa hukimbilia kufungua ID mpya
Cc miss chagga.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom