weka cv yako je bado seald zote zipo? unaelimu kiasi gani unakazi au vipi na mambo mengine uwasaidie vijana kuchukua maamuziMimi ni msichana naamini mme anapatikana sehemu yoyote. Natafuta mme awe mkristo mwenye miaka 29-33. Naomba ani PM.
Nsame kwanza ungeuliza kapata au bado? Offer ilitangazwa july mkuu, na watu wlimwagika by the second and not minutes.
PoaUsivunjike moyo kwa baadhi ya majibu hapa. Kama nia yako ni kupata mume muishi maisha halali - utafanikiwa tu
^^
Loo! Nimechelewa,,Mungu akusaidie iwe perfect match
^^
Mimi ni msichana naamini mme anapatikana sehemu yoyote. Natafuta mme awe mkristo mwenye miaka 29-33. Naomba ani PM.
Dar rafiki
Dar sehm gani
Kimara
Kimara ipi
Kupata mume tuma neno Bwana kwenda 15567