Natafuta mwanaume wa kunioa

MZURI SANA

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2023
Posts
240
Reaction score
546
Mambozz.

Jamani natafuta mwanaume wa kunioa humu jf.

Awe na Hela kwenye Acc yake isome 900M na kuendelea.

Awe na passport na imetiwa muhuri wa nchi 5 za ulaya kuendelea.

Awe na nguvu za kiume.

Gari kuanzia tano ndogo kabisa iwe Harrier.

Awe mkazi wa Mbezi Beach, Masaki , Oysterbay, Ununio, Mbweni, Bahari Beach na Kigamboni.

Awe msafi na mtanashati nguo zake awe na designer kabisa.

Akubali kunioa kuanzia mwakani mwenzi wa kwanza?
 
Sawa. Nipo hapa.

Ila je, wewe una bikra ipi? Bila shaka ya masikioni labda. Kwingine kote umeshachakazwa.
 
Aisee
 
Nimekaa paleee πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
Aisee! JF umeivamia kwa kasi sana. Wengine itabidi tukublock
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…