Mashaka ya nini mkuu hizo ndo fursa zenyewe.Sijui kwanini hua nina mashaka sana na hizi I'd mpya aiseeee......
Otherwise....
Mungu akufanyie wepesi katika hitaji la moyo wako

Huwezi kujua Mungu ametupangia nin karibu sana"Nilikuwa naitafuta sana JF,nasikia watu wamepata waume kupitia "huu mtandao"
Nimtandao unao waleta watu karibu"

All the best...Mimi nina 27yrs.
Mchaga.
Nina diploma.
Mimi siangalii sana muonekano wa nje awe na 30+yrs.
Mkristo.
Muajiriwa/aliyejiajiri.
Naomba yule aliyeserious aniPM tufahamiane zaidi.
Niko hapa ni pmMimi nina 27yrs.
Mchaga.
Nina diploma.
Mimi siangalii sana muonekano wa nje awe na 30+yrs.
Mkristo.
Muajiriwa/aliyejiajiri.
Naomba yule aliyeserious aniPM tufahamiane zaidi.
Hayo ni maandalizi, hamuwezi kukutana leo na kuoana kesho. Hata anayeomba anajua kabisa kuna zaidi ya miezi 6 mbele ili afikie tamati ya lengo lakeHivi hao jamaa wanaoomba kupiemiwa walikuwa wamejipanga kuoa au wanamchukulia mwenzao loose ball?!!..