Natafuta mwanaume wa kunioa mwenye vvu

Natafuta mwanaume wa kunioa mwenye vvu

timaso

Member
Joined
Nov 7, 2014
Posts
14
Reaction score
7
Umri wangu miaka 41 nina shughuri binafsi za kuniingizia kipato, naye pia awe mwajiriwa au shughuri yoyote halali ya kumwingizia kipato.Umri wake miaka 45-60 alitayari aniPM KWA WALIO SERIOUS TU
 
Wewe ni nani kujua kuwa hawezi kuolewa only God knows "We can make many plans, but the God's purpose will prevail".

NB: Huwezi ukawa unamuumiza mtu na maneno yako halafu utegemee utakosa wakukuumiza, yeye kaweka tangazo lake kama halikuhusu pita kimya sio kila kitu lazima ucomment. Kama unataka kuelimisha au kuuliza then uliza/elimisha kwa busara.
 
Nakutakia mafanikio mema.

Umri wangu miaka 41 nina shughuri binafsi za kuniingizia kipato, naye pia awe mwajiriwa au shughuri yoyote halali ya kumwingizia kipato.Umri wake miaka 45-60 alitayari aniPM KWA WALIO SERIOUS TU
 
Asante sana ukweli kwa kunipa, moyo,maana nishaanza kukataa tamaa
 
pole sana timaso kwa unyanyapaa uliopewa live. huyo jamaa nauhakika hajapima afya yake
 
Last edited by a moderator:
mutant gene

What? Are you really a human being or animal? Why you such an evil person. Are you God who plan people' life? Really whatever religion you are just Repent , and apologize to this beautiful Lady.

How can you say these awful words to her? You had a right yo pass by without to comment anything , it should be better than these words you put in here. You are weaker, very weaked May the Lord really forgive you . Thanks .
 
Umri wangu miaka 41 nina shughuri binafsi za kuniingizia kipato, naye pia awe mwajiriwa au shughuri yoyote halali ya kumwingizia kipato.Umri wake miaka 45-60 alitayari aniPM KWA WALIO SERIOUS TU

Mama, Dada, Shangazi pole kwa unayo pitia , Mungu ni mwema atakupa haja ya moyo wako , okay. Waapuuzie wanaokukwaza Ba uwasamehe tuu bure hawajui walitendalo, mpendwa . I love dear and it is well . Usiwe na Shaka utapata tuu haja ya moyo wako in Jesus name , Amen. Asante .
 
Mama, Dada, Shangazi pole kwa unayo pitia , Mungu ni mwema atakupa haja ya moyo wako , okay. Waapuuzie wanaokukwaza dear uwasamehe tuu bure hawajui walitendalo, mpendwa . I love you dear and it is well . Usiwe na Shaka utapata tuu haja ya moyo wako in Jesus name , Amen. Asante .
 
pole sana timaso kwa unyanyapaa uliopewa live. huyo jamaa nauhakika hajapima afya yake

Ni Kweli na hamuogopi Mungu hata kidogo.Hana roho ya kiutu Hata kidogo, yaani I'm so pissed off . Why he is evil? Why? Dada Wa watu kakosa nini Jamani? Kusema ukweli ? This is not fair at all . Very painful . Thanks!
 
Last edited by a moderator:
nashukuru kwa ushauri wako ni mzuri sana lakini wapo wenye vvu kama mimi na wenyeenye wajukuu hao ndo ninaowatafuta wanahitaji kuishi na mke kumbuka nasi ni binadam

Mama Hata usijisikie vibaya au ukahisi huyo jamaa anakudai maelezo . Hakuna yeyote ana Haki ya kukuhukumu , wao au sisi ni nani Kwako? Mungu peke yake ndio anaestahili kuhukumu kwa sababu ni Mungu. My dear usiwasikilize wanaokuvunja moyo , na Wala usivunjike moyo .

Yesu aliwaambia Mkutanoni asiye na dhambi awe Wa kwanza kumrushia jiwe huyu mwanamke , baada ya kusema hivyo Hakuna hata mmoja aliyethubutu kufanya vile kwa yule mwanamke aliyekuwa na kashfa ya kulala na kila mwanamme . My dear Hakuna hata aliye msafi hapa , hata Mimi, wote tunaishi kwa kutubu, Neema na Rehema zake Bwana .

So naomba uwasamehe tuu na kuwaombea kwa yeyote aliyekukwaza , nikiwemo Mimi pia . Usiwe na wasiwasi Mungu tayari anashughulika na haja za moyo wako , Mama Ba hatoweza kukuacha hata siku moja ukiendelea kumtegemea yeye daima , amen . Nakujali na kukupenda Mama, mungu akubariki sana . Asante.
 
mutant gene

Mkuu mbona wamfanyia hivyo?! Nyie ndio mnao sababisha hawa wenzetu waambukize watu kwa makusudi sababu ya kauli mbaya kama hizi

Hii haijakaa poa mkuu
 
Last edited by a moderator:
Ni Kweli na hamuogopi Mungu hata kidogo.Hana roho ya kiutu Hata kidogo, yaani I'm so pissed off . Why he is evil? Why? Dada Wa watu kakosa nini Jamani? Kusema ukweli ? This is not fair at all . Very painful . Thanks!
asante na nimemsamehe.
 
nashukuru sana kwa faraja,mungu akubariki na azidi kukujenga zaidi katika kufundisha maana hawajui waandikayo fadhiri za mungu,rehema za mungu na huruma zake na ziwe juu yao watu kama huyu.
 
mungu atakujalia utampata tuu, una haki ya kupata mahitaji binafsi kama mke
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom