mm hapaHabari zenu wadau nimekuja kwenu mara nyingine rafiki nimepata sasa natafuta mwanaume ambae atakua baba wa famiilia ntampenda na kumlinda,sifa zangu umri 25,mkristo,kazi nafanya kazi ya kufulia watu nguo majumbani kwao.Mwanaume ninae mtaka awe na nia ya kuoa na mwenye mapenzi ya dhati anipende kama anavyo wapenda ndugu zake wa kike,sitaki mwanaume mwenye mfumo dume daima
mengine kuhusu mimi tafadhari in box
,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,
...........................................................................................................................................
Karibu inbox nakondeHabari zenu wadau nimekuja kwenu mara nyingine rafiki nimepata sasa natafuta mwanaume ambae atakua baba wa famiilia ntampenda na kumlinda,sifa zangu umri 25,mkristo,kazi nafanya kazi ya kufulia watu nguo majumbani kwao.Mwanaume ninae mtaka awe na nia ya kuoa na mwenye mapenzi ya dhati anipende kama anavyo wapenda ndugu zake wa kike,sitaki mwanaume mwenye mfumo dume daima
mengine kuhusu mimi tafadhari in box
,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,
...........................................................................................................................................
Mbona mmekua wengi hivoHabari zenu wadau nimekuja kwenu mara nyingine rafiki nimepata sasa natafuta mwanaume ambae atakua baba wa famiilia ntampenda na kumlinda,sifa zangu umri 25,mkristo,kazi nafanya kazi ya kufulia watu nguo majumbani kwao.Mwanaume ninae mtaka awe na nia ya kuoa na mwenye mapenzi ya dhati anipende kama anavyo wapenda ndugu zake wa kike,sitaki mwanaume mwenye mfumo dume daima
mengine kuhusu mimi tafadhari in box
,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,
...........................................................................................................................................
Mungu yu mwema Dada yangu maana hilo jina lako ni la kijijini kwetu huko madongo kuinama!Ndio maana nimeonyesha concernsawa nashukuru kwa mchango wako ntapata tu mungu yu mwema
haa aa you people jamanikati hayo unaowafuliaga hakuna mwanaume ambaye hajaoa??
HahahhhhUzuri wa jf hapa wanaume watapiga bla bla ila huko pm sahivi wamejazana kama nyuki kienyeji mzinga..... Mdada utawapata usijali