Masanilo Platinum Member Joined Oct 2, 2007 Posts 22,283 Reaction score 4,556 Jun 16, 2009 #1 WanaJF natafuta mwanasheria anisaidie kudai haki zangu kwa mwajili, tafadhali aniPM nimpe ufafanuzi, na namna ya kulipana. Natanguliza shukrani
WanaJF natafuta mwanasheria anisaidie kudai haki zangu kwa mwajili, tafadhali aniPM nimpe ufafanuzi, na namna ya kulipana. Natanguliza shukrani
Buchanan JF-Expert Member Joined May 19, 2009 Posts 13,192 Reaction score 1,976 Jun 17, 2009 #2 Eleza tatizo pls!
Masanilo Platinum Member Joined Oct 2, 2007 Posts 22,283 Reaction score 4,556 Jun 17, 2009 Thread starter #3 buchanan said: Eleza tatizo pls! Click to expand... Siwezi hapa, sorry!
Lambardi Platinum Member Joined Feb 7, 2008 Posts 20,218 Reaction score 24,550 Jun 17, 2009 #4 Nenda msaada wa kisheria udsm...........
Kyakya JF-Expert Member Joined Apr 24, 2009 Posts 398 Reaction score 24 Jun 18, 2009 #5 Wanasheria wako wengi tu, jaribu kuwapitia alafu waeleze shida yako nadhani utapata mtakaye elewana atakusaidia na pia anaweza kuwa Mwanasheria wako wa kudumu.
Wanasheria wako wengi tu, jaribu kuwapitia alafu waeleze shida yako nadhani utapata mtakaye elewana atakusaidia na pia anaweza kuwa Mwanasheria wako wa kudumu.
Nyani Ngabu Platinum Member Joined May 15, 2006 Posts 98,027 Reaction score 142,938 Jun 18, 2009 #6 Mtafute Kuhani aka Dilunga
Masanilo Platinum Member Joined Oct 2, 2007 Posts 22,283 Reaction score 4,556 Jun 18, 2009 Thread starter #7 Kuhani anaweza piga bill kuliko ya Nimrod Mkono kule BOT....$ 500 kwa saa!
K Kidatu JF-Expert Member Joined Jun 11, 2008 Posts 1,574 Reaction score 350 Jun 20, 2009 #8 Miganiko said: WanaJF natafuta mwanasheria anisaidie kudai haki zangu kwa mwajili, tafadhali aniPM nimpe ufafanuzi, na namna ya kulipana. Natanguliza shukrani Click to expand... Mtafute Ademba Gomba ama Beledi Malegesi.
Miganiko said: WanaJF natafuta mwanasheria anisaidie kudai haki zangu kwa mwajili, tafadhali aniPM nimpe ufafanuzi, na namna ya kulipana. Natanguliza shukrani Click to expand... Mtafute Ademba Gomba ama Beledi Malegesi.