Natafuta mwanamke wakunivumilia

Natafuta mwanamke wakunivumilia

habari girls? natafuta mwamke awe mpenzi wangu kwa shrti la kunivumilia maana mimi nimepitia katika mapenzi ya jinsia moja so nataka mwanamke atakeweza kunifanya nikasimamisha vizuri tunapokuwa kitandani maana naitaji awe msaada kwangu katika kipindi hiki ninacho achana na haya mambo mwenye nia ya kweli anichek .
asiwe zaidi ya miaka 30
asiwe chini ya miaka 24
asante.

Naomba TiGO hiyo, halafu ndio utafute mchumba
 
dawa ya hiyo kitu mbona sio lazima mtu akusaidie..chukua mti wa muhongo charaza hiyo ndurubu kwa nguvu itainuka yenyewe..kajaribu ulete jibu
 
kusimamisha ninasimamisha tena vizuri, shida yangu nipate mwanamke mwenye kuniandaa kiakili ili nihame kabisa nilikokuwa maana najua wapo wanawake wenye mapenzi ya kweri maana kuna jamaa ameniambia ata yeye alikuwa kama mm ila alipopata mwanamke muelewa amemsaidia na wamekuwa pamoja mwaka wa sita sasa kwenye ndoa na wana watoto wawili.


Naomba TiGO hiyo, halafu ndio utafute mchumba

HV we we si ulishaaga kwamba unatoka jf? Ni aheri utoke maadili yako ni sifuri
 
Huyu ni muongo hajaacha hiyo tabia ya ushoga, hii ni janja yake ya kutafuta wanaume, biashara inafanyika hapo.
Kuna mtu kalalamika alimtumia pm kama atamuhitaji. Katika wati wengi kuna kila aina ya watu na tabia zao na huyu ni mmoja wao tu.
 
Hongera kwa hatua mathubuti unayojitahidi kuifuata. Usiache na kumuomba Mungu akuzae upya.


Kaunga! Kuna kuzaliwa upya wapi hapo bwana wee..lol Hebu acha kumtia kijana matumaini hewa🙂. Waswahili husema.. 'La kuvunda halina ubani'...Kijana ameshaweka bayana kuwa yeye ni baniani (vegeterian🙂 yaani hali nyama. Sasa haya mambo ya kutaka kuanza kujifunza kula nyama utu uzimani si itakuwa michezo ya kuigiza tu bwana🙂 au? lol.

Anyway, lakini pia tuna muombea na kumtakia kila heri kuelekea kwenye hiyo 'transition' na kwamba ajue kamwe hatumuhukumu. Lakini na yeye asituchanganye watu wazima hapa kijiweni🙂. Kwani nani ajuaye kuwa hii pia inaweza kuwa ni mbinu ya kimafia ya kufanya 'solicitation' ya nguvu isiyokuwa tofauti na tangazo la Cocacola au TIGO. teh teh
 
Ule uzi aliokuwa reported umefutwa???

Huyu ni muongo hajaacha hiyo tabia ya ushoga, hii ni janja yake ya kutafuta wanaume, biashara inafanyika hapo.
Alimtumia Kana-Ka-Nsungu pm kama atamuhitaji. Katika watu wengi kuna kila aina ya watu na tabia zao na huyu ni mmoja wao tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom