Natafuta mwanamke wakunivumilia

Natafuta mwanamke wakunivumilia

Mkuu kama anatafuta mtu wa kuisimamisha dede nonihinooo, huwezi kweli kuunganisha dots!!!

kusimamisha ninasimamisha tena vizuri, shida yangu nipate mwanamke mwenye kuniandaa kiakili ili nihame kabisa nilikokuwa maana najua wapo wanawake wenye mapenzi ya kweri maana kuna jamaa ameniambia ata yeye alikuwa kama mm ila alipopata mwanamke muelewa amemsaidia na wamekuwa pamoja mwaka wa sita sasa kwenye ndoa na wana watoto wawili.
 
Okay...
Halafu umeshautibu ule ugonjwa wako? maana nakumuka ulikuwa mbishi sana kukubali ukweli siku ulipoeleza kwamba waumwa.

kusimamisha ninasimamisha tena vizuri, shida yangu nipate mwanamke mwenye kuniandaa kiakili ili nihame kabisa nilikokuwa maana najua wapo wanawake wenye mapenzi ya kweri maana kuna jamaa ameniambia ata yeye alikuwa kama mm ila alipopata mwanamke muelewa amemsaidia na wamekuwa pamoja mwaka wa sita sasa kwenye ndoa na wana watoto wawili.
 
Uamuzi mzuri, mungu akusaidie upate ambaye mtakayevumiliana katika hiki kipindi badae mle maraha kwa raha zenu.
 
all the best man 🙂 usisahau kutuambia mafanikio yakipatikana
 
habari girls? natafuta mwamke awe mpenzi wangu kwa shrti la kunivumilia maana mimi nimepitia katika mapenzi ya jinsia moja so nataka mwanamke atakeweza kunifanya nikasimamisha vizuri tunapokuwa kitandani maana naitaji awe msaada kwangu katika kipindi hiki ninacho achana na haya mambo mwenye nia ya kweli anichek .
asiwe zaidi ya miaka 30
asiwe chini ya miaka 24
asante.
Nakushauri uachane na mpango huo. Ni vizuri uolewe!
 
habari girls? natafuta mwamke awe mpenzi wangu kwa shrti la kunivumilia maana mimi nimepitia katika mapenzi ya jinsia moja so nataka mwanamke atakeweza kunifanya nikasimamisha vizuri tunapokuwa kitandani maana naitaji awe msaada kwangu katika kipindi hiki ninacho achana na haya mambo mwenye nia ya kweli anichek .
asiwe zaidi ya miaka 30
asiwe chini ya miaka 24
asante.

Mweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!
 
Kwanza kitendo cha kuthubutu kutaja hayo mahusiano ni kitubio cha kutosha...Umefanya maamuzi ya busara kuchagua maisha mapya na mungu aliyekutoa huko atakupa pia hitaji la moyo wako.

Aisee! Kumbe MMU huwa kuna mambo hivi?! Duh!
Natamani Mafisadi katika siasa na utawala wa nchi hii nao wangeiga kitubio cha jinsi hii kule kwenye Jukwaa la Siasa labda Mungu angeiponya nchi yetu?!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom