Natafuta mwanamke wa kuzaa nae

Natafuta mwanamke wa kuzaa nae

Mhasibu1

Member
Joined
Jul 1, 2015
Posts
9
Reaction score
3
Habari,

Natafuta mwanamke wa kunizalia mtoto,umri wangu ni 30, nitamtunza na kutimiza mahitaji yake yote. Alie Tayari ani pm ilikufikia lengo hilo mimi npo Dar.Awe na miaka 24 mpk 32.

Karibu sana

 
sijuwi inaitwaga incubator vilee...
 
  • Thanks
Reactions: amu
Mambo ya jogoo na tetea yamehamia kwa binadamu sasa
 
Habari Natafuta Mwanamke Wa Kunizalia Mtoto,Umri Wangu Ni 30, Nitamtunza Na Kutimiza Mahitaji Yake Yote .Alie Tayari Ani Pm Ilikufikia Lengo Hilo Mimi Npo Dar.Awe Na Miaka 24 Mpk 32 Karibu Sana

Hongera Sana 1st Class Accountant.
 
Yaani bila aibu kabisa unatafuta mwanamke wa kufanye naye zinaa.Mm,kweli wanadamu tuko njia panda.
Habari Natafuta Mwanamke Wa Kunizalia Mtoto,Umri Wangu Ni 30, Nitamtunza Na Kutimiza Mahitaji Yake Yote .Alie Tayari Ani Pm Ilikufikia Lengo Hilo Mimi Npo Dar.Awe Na Miaka 24 Mpk 32 Karibu Sana
 
Huna haja ya kuja jf, nenda pale Kinondoni Makaburini kuanzia saa 1.00 usiku. Mbona wapo wengi tuu bora makubaliano? Hata kule Ohio Str. Mbona wapo tuu utajichagulia sampuli unayo itaka, mrefu mfupi mnene manidle makubwa yaani mpaka utakinai vile. Ufikie dau tu hao ni wazuri hawatakusumbua baada ya kulea
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom