Last edited by a moderator:
Siwezi we nipe namba yako ya cm ili nikueleze
Kama hauwezi,then haupo serious kama mm minavyomaanisha.sorry
Kama huwezi kunipm.sorry I can't expose my. Contact in public.Acha uduanzi,kuna memers hawajui ku PM ...sio kwamba hataki kuku PM.... bali hajui,na pia zamani ilikuwa mpk ufikishe posts fulani ndio unaweza kum PM mtu......wewe Mpe numbers zako huko PM ....inawezekana akawa mke mwema kwako........haya kamata fursa uende.
Kama huwezi kunipm.sorry I can't expose my. Contact in public.
Ok,cna haja ya kueleweshwa na ww,niliandika kama huna cha kucoment pita kimya kimya
Jamani namba zake kabandika PM nenda utazikuta,.
Alafu we nnawasiwasi huna rangi ya chocolate jinsi unavyoomba namba hapa inaonekana unarangi ya kijivu.
Uduvi!!unahitaji mtu wa kuoa au wakungonoka nae tu!!maana mmmh sijui,masai dada njoo umsaidie kumtafutia mke bwana kaka hapa.