Khaaah! Yan uporoto ajitume, afanye kazi kwa bidii afu uje umletee baba zima na midevu yake amlee, heee! Una hamu ya kuachika au?
No! Yeye ndo anataka kuogeshwa!unaweza kazi za nyumbani kama kufua, kupika,kupasi na kuogesha watoto? nna vacancy hapa,unaweza kuwa watchman cum hboy.
Hivi hujamwona mamkwe wako hapo juu eeh? Haya we endelea!mi si nalea tu. Dogo malezi ya mama hayajamtosha. Lol