Natafuta mwanamke wa kunilea

marekani wana msemo
this is america.....people are free to do anything....

naona bongo tunaelekea huko lol
 
unaweza kazi za nyumbani kama kufua, kupika,kupasi na kuogesha watoto? nna vacancy hapa,unaweza kuwa watchman cum hboy.
 
wanaume wa kukulea wapo.na wanatoa dau zuri tu,mda si mrefu unaweza ukawa rich...kwenda acapulco bay kula raha,kulala hilton hotel paris kuhudhuria show za justin beiber...badili thread yako basi iyo.
 
Khaaaah!!! utani mwingine si mzuri. Unawaza kulelewa, unajua hao wanaowalea hela wanapati wapi, na ka njia gani? Fanya kazi member, utaharibikiwa bure!
 
Nenda Mombasa mkuu, huko wanaume wanafugwa kwa raha zaidi ila inatakiwa zipu uiweke kwa nyuma hapo utajiri nje nje.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom