Natafuta mwanamke - rafiki

Natafuta mwanamke - rafiki

Mlima meru

Senior Member
Joined
Dec 30, 2012
Posts
114
Reaction score
20
Mimi naishi Arusha ni kijana mstaarabu nilieajiriwa Serikalini mwenye kipato cha kawaida. Nahitaji kupata mwanamke atakayekuwa rafiki yangu.

Sifa;
1. Awe anajiweza financially kwani kipato changu ni cha kawaida
2. Tuwe tunaweza kukutana naye hasa weekend
3. Awe na Afya njema
4. Awe na umri kuanzia miaka 30 na kuendelea
5. Haijalishi kama ana mtoto alimradi anasifa tajwa hapo juu

Anayependa na mwenyesifa naomba anitumie ujumbe (pm) au email kupitia. mlimameru@gmail.com

Nitamjibu yeyote atakaye jitokeza na naahidi kuheshimu mawazo ya mtu.

Natanguliza shukrani
 
Heri umekuwa muwazi Kuwa huhitaji kupigwa mizinga.....
kila la heri
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom